Mambo ya Walawi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pia, msikusanye masalio ya mashamba yenu ya mizabibu wala msiokote zabibu zilizoanguka chini. Waachieni maskini*+ na wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu.
10 Pia, msikusanye masalio ya mashamba yenu ya mizabibu wala msiokote zabibu zilizoanguka chini. Waachieni maskini*+ na wageni. Mimi ni Yehova Mungu wenu.