Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nayo sabato ya nchi itakuwa chakula kwa ajili yenu, kwa ajili yako na mtumwa wako na kijakazi wako na mfanyakazi wako wa kukodiwa na mkaaji anayekaa pamoja nawe, wale wanaokaa wakiwa wakaaji wageni pamoja nawe,

  • Kumbukumbu la Torati 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+

  • Ruthu 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha akasimama aokote masalio.+ Basi Boazi akawaamuru wanaume wake vijana, akisema: “Mwacheni aokote masalio katikati ya masuke ya nafaka yaliyokatwa pia, nanyi msimsumbue.+

  • Zaburi 140:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Najua vema kwamba Yehova atatimiza+

      Dai halali la mwenye kuteseka, hukumu ya maskini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki