Zaburi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+ Zaburi 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili kumhukumu mvulana asiye na baba na mtu aliyepondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa, aliye wa dunia, asisababishe tena kutetemeka.+ Zaburi 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+ Zaburi 72:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ahukumu wenye kuteseka katikati ya watu,+Na awaokoe wana wa maskini,Na amponde mpunjaji.
4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+
18 Ili kumhukumu mvulana asiye na baba na mtu aliyepondwa,+Ili mwanadamu anayeweza kufa, aliye wa dunia, asisababishe tena kutetemeka.+
24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+