Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+

      Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+

  • Zaburi 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ili kumhukumu mvulana asiye na baba na mtu aliyepondwa,+

      Ili mwanadamu anayeweza kufa, aliye wa dunia, asisababishe tena kutetemeka.+

  • Zaburi 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana hakudharau+

      Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+

      Naye hakumficha uso wake,+

      Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+

  • Zaburi 72:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Na ahukumu wenye kuteseka katikati ya watu,+

      Na awaokoe wana wa maskini,

      Na amponde mpunjaji.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki