Kumbukumbu la Torati 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nayo itamaanisha uadilifu kwetu,+ kwamba tuwe waangalifu kutenda amri yote hii mbele za Yehova Mungu wetu, kama vile ambavyo ametuamuru.’+ Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+ Danieli 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+
25 Nayo itamaanisha uadilifu kwetu,+ kwamba tuwe waangalifu kutenda amri yote hii mbele za Yehova Mungu wetu, kama vile ambavyo ametuamuru.’+
9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+
27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+