14 Na wakati huohuo, mmoja wa vijana akaleta habari kwa Abigaili, mke wa Nabali, akisema: “Tazama! Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia bwana wetu mema, lakini akawakemea kwa sauti kali.+
15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.
13 Kupitia uthibitisho ambao huduma hii hutoa, wao wanamtukuza Mungu kwa sababu mnajitiisha kwenye habari njema juu ya Kristo,+ mnapotangaza waziwazi kuwa mko hivyo, na kwa sababu ninyi ni wakarimu katika mchango wenu kwao na kwa wote;+