Waroma 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini ni shukrani kwa Mungu kwamba mlikuwa watumwa wa dhambi lakini kutoka moyoni mkawa wenye kutii namna ile ya fundisho ambayo mliwekwa chini yake.+ 2 Wakorintho 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pia, upendo wake mwororo ni mwingi zaidi kuwaelekea ninyi, anapokumbuka utii+ wenu nyote, jinsi mlivyompokea kwa kuogopa na kutetemeka.
17 Lakini ni shukrani kwa Mungu kwamba mlikuwa watumwa wa dhambi lakini kutoka moyoni mkawa wenye kutii namna ile ya fundisho ambayo mliwekwa chini yake.+
15 Pia, upendo wake mwororo ni mwingi zaidi kuwaelekea ninyi, anapokumbuka utii+ wenu nyote, jinsi mlivyompokea kwa kuogopa na kutetemeka.