Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Waefeso 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili katika mifumo ya mambo inayokuja+ uonyeshwe utajiri+ mwingi zaidi wa fadhili zake zisizostahiliwa katika neema yake kutuelekea sisi katika muungano+ na Kristo Yesu.
6 Huyu mwenye kuteseka aliita, na Yehova mwenyewe akasikia.+Na Yeye akamwokoa kutoka katika taabu zake zote.+
7 ili katika mifumo ya mambo inayokuja+ uonyeshwe utajiri+ mwingi zaidi wa fadhili zake zisizostahiliwa katika neema yake kutuelekea sisi katika muungano+ na Kristo Yesu.