Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ikiwa nafsi inatenda dhambi, kwa kujiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa Yehova+ naye amdanganye+ mwenzake juu ya kitu fulani alicho nacho au arbuni iliyo mkononi mwake+ au kumnyang’anya, au ampunje mwenzake,+

  • Isaya 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+

  • Yeremia 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Kwa maana watu waovu wamepatikana kati ya watu wangu.+ Wanaendelea kukaza macho, kama wakati wawindaji wa ndege wanapochutama.+ Wameweka mtego wenye kuharibu. Wao wanawanasa watu.

  • Yeremia 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, inawezekana kuwe wizi,+ uuaji+ na uzinzi+ na kuapa kwa uwongo+ na kumfukizia Baali moshi+ wa dhabihu na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua,+

  • Yeremia 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Enyi nyumba ya Daudi,+ Yehova amesema hivi: “Kila asubuhi+ toeni hukumu kwa haki,+ na kumkomboa kutoka mkononi mwa mpunjaji yeye anayenyang’anywa,+ ili ghadhabu yangu isitoke kama moto+ na kuteketeza na kusiwe na yeyote wa kuuzima kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”’+

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki