Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli+ yote; na Daudi akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu+ kwa ajili ya watu wake wote.+

  • Isaya 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+

  • Yeremia 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana ikiwa hakika mtazifanya njia zenu na matendo yenu kuwa mema, ikiwa hakika mtatenda haki kati ya mtu na mwenzake,+

  • Yeremia 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova amesema hivi: “Toeni haki na uadilifu, nanyi mumkomboe yeye anayenyang’anywa kutoka mkononi mwa mpunjaji; wala msimtendee vibaya mkaaji mgeni yeyote, mvulana asiye na baba au mjane.+ Msiwatendee jeuri yoyote.+ Wala msimwage damu yoyote isiyo na hatia mahali hapa.+

  • Zekaria 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki