Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.

  • Kumbukumbu la Torati 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.

  • Isaya 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+

  • Yeremia 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Enyi nyumba ya Daudi,+ Yehova amesema hivi: “Kila asubuhi+ toeni hukumu kwa haki,+ na kumkomboa kutoka mkononi mwa mpunjaji yeye anayenyang’anywa,+ ili ghadhabu yangu isitoke kama moto+ na kuteketeza na kusiwe na yeyote wa kuuzima kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”’+

  • Ezekieli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wamemtendea dharau baba na mama ndani yako.+ Wamemtendea mkaaji mgeni ndani yako kwa upunjaji.+ Wamewatendea vibaya mvulana asiye na baba na mjane ndani yako.” ’ ”+

  • Ezekieli 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Watu wa nchi wenyewe wameendesha mbinu ya kupunja+ nao wamenyakua katika unyang’anyi,+ nao wamemtendea vibaya+ anayeteseka na aliye maskini, na kumpunja bila haki mkaaji mgeni.’+

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+

  • Zekaria 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki