Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+ Isaya 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova mwenyewe ataingia katika hukumu pamoja na wazee wa watu wake na wakuu wao.+ “Nanyi wenyewe mmeliteketeza kwa moto shamba la mizabibu. Vitu vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi kutoka kwa mwenye kuteseka vimo ndani ya nyumba zenu.+
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+
14 Yehova mwenyewe ataingia katika hukumu pamoja na wazee wa watu wake na wakuu wao.+ “Nanyi wenyewe mmeliteketeza kwa moto shamba la mizabibu. Vitu vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi kutoka kwa mwenye kuteseka vimo ndani ya nyumba zenu.+