Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+

      Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+

      Nao utateketeza dunia na mazao yake+

      Nao utawasha misingi ya milima.+

  • Yeremia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tahiriweni kwa ajili ya Yehova, na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+ ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu; ili ghadhabu yangu isitoke kama moto, na hakika iteketeze bila yeyote wa kuizima, kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”+

  • Nahumu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya shutuma zake?+ Ni nani anayeweza kusimama mbele ya joto la hasira yake?+

      Ghadhabu yake mwenyewe itamwagwa kama moto,+ nayo miamba itabomolewa kwa sababu yake.

  • Sefania 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+ bali dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+ kwa sababu atafanya maangamizi, yenye kutisha kwelikweli, ya wakaaji wote wa dunia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki