Mambo ya Walawi 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ Maombolezo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+
28 ndipo nitakapotembea kwa kuwapinga vikali,+ na mimi, naam, mimi nitawatia adabu mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+
11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+