Hesabu 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nikusanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli,+ ambao unajua kwamba ni wanaume wazee wa watu na maofisa wao,+ nawe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nawe. 1 Mambo ya Nyakati 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kati ya hao kwa ajili ya kuwa wasimamizi juu ya kazi ya nyumba ya Yehova kulikuwa na 24,000; na 6,000 kuwa maofisa+ na waamuzi;+
16 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nikusanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli,+ ambao unajua kwamba ni wanaume wazee wa watu na maofisa wao,+ nawe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nawe.
4 Kati ya hao kwa ajili ya kuwa wasimamizi juu ya kazi ya nyumba ya Yehova kulikuwa na 24,000; na 6,000 kuwa maofisa+ na waamuzi;+