Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili damu isiyo na hatia+ isimwagwe katikati ya nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe iwe urithi, na hatia yoyote ya damu isiwe juu yako.+

  • 2 Wafalme 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia+ aliyokuwa amemwaga, hivi kwamba akalijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia, na Yehova hakukubali kutoa msamaha.+

  • Yeremia 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ikiwa hamtamkandamiza mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane,+ nanyi hamtamwaga damu isiyo na hatia mahali hapa,+ hamtaifuata miungu mingine ili kujiletea wenyewe msiba,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki