Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wewe—wewe utaondolea mbali hatia ya damu kutoka katikati yako,+ kwa sababu utafanya yaliyo sawa machoni pa Yehova.+

  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

  • Yeremia 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ikiwa hamtamkandamiza mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane,+ nanyi hamtamwaga damu isiyo na hatia mahali hapa,+ hamtaifuata miungu mingine ili kujiletea wenyewe msiba,+

  • Yona 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wakaanza kumwita Yehova na kusema:+ “Ah, sasa, Ee Yehova, tafadhali, tusiangamie kwa sababu ya nafsi ya mtu huyu! Nawe usiweke juu yetu damu isiyo na hatia,+ kwa kuwa wewe mwenyewe, Ee Yehova, umefanya ulivyopenda!”+

  • Mathayo 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 akisema: “Nilitenda dhambi niliposaliti damu yenye uadilifu.”+ Wakasema: “Hilo linatuhusu nini? Shauri yako!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki