16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+
6 ikiwa hamtamkandamiza mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane,+ nanyi hamtamwaga damu isiyo na hatia mahali hapa,+ hamtaifuata miungu mingine ili kujiletea wenyewe msiba,+
14 Nao wakaanza kumwita Yehova na kusema:+ “Ah, sasa, Ee Yehova, tafadhali, tusiangamie kwa sababu ya nafsi ya mtu huyu! Nawe usiweke juu yetu damu isiyo na hatia,+ kwa kuwa wewe mwenyewe, Ee Yehova, umefanya ulivyopenda!”+