Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+ Zaburi 107:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nao huanza kumpaazia Yehova kilio katika taabu yao,+Naye huwatoa katika mikazo iliyo juu yao.+ Isaya 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ee Yehova, wakati wa taabu wamekuelekezea fikira zao;+ wametoa mnong’ono wa sala walipopata nidhamu+ yako.
16 Ee Yehova, wakati wa taabu wamekuelekezea fikira zao;+ wametoa mnong’ono wa sala walipopata nidhamu+ yako.