Zaburi 145:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+ Isaya 66:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Na hakika itatukia kwamba kutoka mwezi mpya mpaka mwezi mpya na kutoka sabato mpaka sabato wanadamu wote wataingia ili kuinama mbele zangu,”+ Yehova amesema. Matendo 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na kusema, ‘Kornelio, sala yako imesikiwa na kukubaliwa, nazo zawadi zako za rehema zimekumbukwa mbele za Mungu.+ Matendo 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ili watu wanaobaki wamtafute Yehova kwa bidii, pamoja na watu wa mataifa yote, watu wanaoitwa kwa jina langu, asema Yehova, anayefanya mambo haya,+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
23 “Na hakika itatukia kwamba kutoka mwezi mpya mpaka mwezi mpya na kutoka sabato mpaka sabato wanadamu wote wataingia ili kuinama mbele zangu,”+ Yehova amesema.
31 na kusema, ‘Kornelio, sala yako imesikiwa na kukubaliwa, nazo zawadi zako za rehema zimekumbukwa mbele za Mungu.+
17 ili watu wanaobaki wamtafute Yehova kwa bidii, pamoja na watu wa mataifa yote, watu wanaoitwa kwa jina langu, asema Yehova, anayefanya mambo haya,+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+