12 Akaendelea kuniambia: “Usiogope,+ Ee Danieli, kwa maana tangu siku ya kwanza ulipoelekeza moyo wako ili kupata uelewaji+ na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako,+ maneno yako yamesikiwa, nami mwenyewe nimekuja kwa sababu ya maneno yako.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.