Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini sala ya wanyoofu ni furaha kwake.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Danieli 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwanzoni mwa maombi yako neno lilitolewa, nami nimekuja kutoa habari, kwa maana wewe ni mtu mwenye kutamanika sana.+ Basi lifikirie jambo hilo,+ na upate kuelewa jambo lililoonwa.
23 Mwanzoni mwa maombi yako neno lilitolewa, nami nimekuja kutoa habari, kwa maana wewe ni mtu mwenye kutamanika sana.+ Basi lifikirie jambo hilo,+ na upate kuelewa jambo lililoonwa.