Danieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye kutamanika sana,+ elewa maneno ninayokuambia,+ na usimame wima mahali ulipokuwa umesimama, maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliposema nami neno hilo, nikasimama wima, nikitetemeka. Danieli 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye kutamanika sana.+ Na uwe na amani.+ Uwe na nguvu, ndiyo, uwe na nguvu.”+ Mara tu aliposema nami, nikapata nguvu halafu nikasema: “Bwana wangu na aseme,+ kwa maana umenitia nguvu.”+
11 Naye akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye kutamanika sana,+ elewa maneno ninayokuambia,+ na usimame wima mahali ulipokuwa umesimama, maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliposema nami neno hilo, nikasimama wima, nikitetemeka.
19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye kutamanika sana.+ Na uwe na amani.+ Uwe na nguvu, ndiyo, uwe na nguvu.”+ Mara tu aliposema nami, nikapata nguvu halafu nikasema: “Bwana wangu na aseme,+ kwa maana umenitia nguvu.”+