Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akaniambia:

      “Ee Danieli, wewe mtu mwenye kutamanika sana,+ elewa maneno ninayokuambia,+ na usimame wima mahali ulipokuwa umesimama, maana sasa nimetumwa kwako.”

      Naye aliposema nami neno hilo, nikasimama wima, nikitetemeka.

  • Danieli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye kutamanika sana.+ Na uwe na amani.+ Uwe na nguvu, ndiyo, uwe na nguvu.”+ Mara tu aliposema nami, nikapata nguvu halafu nikasema: “Bwana wangu na aseme,+ kwa maana umenitia nguvu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki