Waamuzi 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Yehova akamwambia: “Amani iwe pamoja nawe.+ Usiogope.+ Hutakufa.”+ Ufunuo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+
17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope.+ Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+