Danieli 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.” Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:19 dp 208 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:19 Unabii wa Danieli, uku. 208
19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”