1 Wafalme 8:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 basi usikie ukiwa mbinguni, makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe ufanye hukumu kwa ajili yao,+ Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+
49 basi usikie ukiwa mbinguni, makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe ufanye hukumu kwa ajili yao,+
4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+