39 basi usikie ukiwa mbinguni, katika makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na maombi yao ya kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu+ kwa ajili yao na kuwasamehe+ watu wako ambao wamekutendea dhambi.
15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+