2 Wafalme 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana mabaki watatoka katika Yerusalemu,+ na wale wanaoponyoka katika Mlima Sayuni.+ Bidii+ ya Yehova wa majeshi itatenda hayo. Zekaria 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova wa majeshi+ asema hivi, ‘Nitakuwa na wivu mkubwa+ kwa ajili ya Sayuni, nami nitakuwa na wivu kwa ajili yake kwa ghadhabu kubwa.’ ”+
31 Kwa maana mabaki watatoka katika Yerusalemu,+ na wale wanaoponyoka katika Mlima Sayuni.+ Bidii+ ya Yehova wa majeshi itatenda hayo.
2 “Yehova wa majeshi+ asema hivi, ‘Nitakuwa na wivu mkubwa+ kwa ajili ya Sayuni, nami nitakuwa na wivu kwa ajili yake kwa ghadhabu kubwa.’ ”+