Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mabaki wachache watarudi, mabaki ya Yakobo, kwa Mungu Mwenye Nguvu.+

  • Yeremia 44:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakutakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka kwa mabaki wa Yuda wanaoingia ili kukaa humo wakiwa wageni, katika nchi ya Misri,+ wa kurudi katika nchi ya Yuda ambayo wanaitamani kwa nafsi yao ili warudi kukaa humo;+ kwa maana hawatarudi, ila tu watu fulani walioponyoka.’”

  • Waroma 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+

  • Waroma 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki