12 Akaendelea kuniambia: “Usiogope,+ Ee Danieli, kwa maana tangu siku ya kwanza ulipoelekeza moyo wako ili kupata uelewaji+ na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako,+ maneno yako yamesikiwa, nami mwenyewe nimekuja kwa sababu ya maneno yako.+
12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+