Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+

  • Danieli 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Akaendelea kuniambia: “Usiogope,+ Ee Danieli, kwa maana tangu siku ya kwanza ulipoelekeza moyo wako ili kupata uelewaji+ na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako,+ maneno yako yamesikiwa, nami mwenyewe nimekuja kwa sababu ya maneno yako.+

  • Yohana 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda-dhambi,+ bali ikiwa mtu yeyote anamwogopa Mungu na anafanya mapenzi yake, yeye humsikiliza.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki