Waamuzi 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema: “Tumekutendea dhambi,+ kwa sababu tumemwacha Mungu wetu nasi tunatumikia Mabaali.”+ Zaburi 77:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+ Zaburi 78:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kadiri alivyowaua ndivyo pia walivyouliza habari zake,+Nao wakarudi na kumtafuta Mungu.+ Hosea 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+
10 Na wana wa Israeli wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema: “Tumekutendea dhambi,+ kwa sababu tumemwacha Mungu wetu nasi tunatumikia Mabaali.”+
2 Katika siku ya taabu yangu nimemtafuta Yehova mwenyewe.+Usiku, mkono wangu umenyooshwa wala haufi ganzi;Nafsi yangu imekataa kufarijiwa.+
15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+