Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+

  • Yeremia 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+

  • Hosea 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Watatembea kwa kumfuata Yehova.+ Atanguruma kama simba;+ kwa maana yeye mwenyewe atanguruma,+ na wana watakuja wakitetemeka kutoka upande wa magharibi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki