14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+
10 Watatembea kwa kumfuata Yehova.+ Atanguruma kama simba;+ kwa maana yeye mwenyewe atanguruma,+ na wana watakuja wakitetemeka kutoka upande wa magharibi.+