Mambo ya Walawi 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao. 2 Mambo ya Nyakati 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake. Yakobo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jinyenyekezeni machoni pa Yehova,+ naye atawainua ninyi.+
41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao.
12 Na mara tu jambo hilo lilipomtaabisha,+ akautuliza uso wa Yehova Mungu wake,+ akaendelea kujinyenyekeza+ sana kwa sababu ya Mungu wa mababu zake.