Kutoka 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+ Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+
5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+