2 Mambo ya Nyakati 6:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 basi usikie ukiwa mbinguni, katika makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na maombi yao ya kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu+ kwa ajili yao na kuwasamehe+ watu wako ambao wamekutendea dhambi. Zaburi 103:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+Anayeponya magonjwa yako yote,+
39 basi usikie ukiwa mbinguni, katika makao yako yaliyofanywa imara,+ sala yao na maombi yao ya kutaka kibali,+ nawe ufanye hukumu+ kwa ajili yao na kuwasamehe+ watu wako ambao wamekutendea dhambi.