Kumbukumbu la Torati 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa maana utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako ili uzishike amri zake na sheria zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha sheria,+ kwa sababu utarudi kwa Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na nafsi yako yote.+ Zaburi 78:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kadiri alivyowaua ndivyo pia walivyouliza habari zake,+Nao wakarudi na kumtafuta Mungu.+
10 kwa maana utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako ili uzishike amri zake na sheria zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha sheria,+ kwa sababu utarudi kwa Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na nafsi yako yote.+