1 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumemwacha Yehova ili tutumikie Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ basi sasa utukomboe+ kutoka mkono wa adui zetu, ili tukutumikie.’
10 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumemwacha Yehova ili tutumikie Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ basi sasa utukomboe+ kutoka mkono wa adui zetu, ili tukutumikie.’