8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia;+ na wana wa Israeli wakaendelea kumtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.
5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+