Waamuzi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia* mikononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia.* Na Waisraeli wakamtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.
8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia* mikononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia.* Na Waisraeli wakamtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.