Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Usiifuate miungu mingine, miungu yoyote ya vikundi vya watu wanaowazunguka pande zote,+

  • Kumbukumbu la Torati 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Na itatukia kwamba ikiwa utamsahau Yehova Mungu wako hata kidogo nawe ufuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, nashuhudia juu yenu leo kwamba ninyi mtaangamia kabisa.+

  • Kumbukumbu la Torati 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na laana,+ ikiwa hamtatii amri za Yehova Mungu+ wenu nanyi mgeuke kutoka katika njia ambayo ninawaamuru ninyi juu yake leo, ili kufuata miungu mingine ambayo hamjaijua.

  • Yeremia 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Watu hawa wabaya wanaokataa kuyatii maneno yangu,+ wanaotembea katika ukaidi wa moyo+ wao na wanaoendelea kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia,+ pia watakuwa kama mshipi huu ambao haufai kwa jambo lolote.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki