Yeremia 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Watu hawa waovu wanaokataa kutii maneno yangu,+ wanaofuata kwa ukaidi moyo wao wenyewe,+ na wanaofuata miungu mingine, wakiiabudu na kuiinamia, watakuwa kama mshipi huu usiofaa kabisa.’
10 Watu hawa waovu wanaokataa kutii maneno yangu,+ wanaofuata kwa ukaidi moyo wao wenyewe,+ na wanaofuata miungu mingine, wakiiabudu na kuiinamia, watakuwa kama mshipi huu usiofaa kabisa.’