Kutoka 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+ Kumbukumbu la Torati 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Na itatukia kwamba ikiwa utamsahau Yehova Mungu wako hata kidogo nawe ufuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, nashuhudia juu yenu leo kwamba ninyi mtaangamia kabisa.+ Yeremia 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi msifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia, ili msinitie uchungu mimi kwa kazi ya mikono yenu, na ili nisiwaletee ninyi msiba.’+
14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+
19 “Na itatukia kwamba ikiwa utamsahau Yehova Mungu wako hata kidogo nawe ufuate miungu mingine na kuitumikia na kuiinamia, nashuhudia juu yenu leo kwamba ninyi mtaangamia kabisa.+
6 Nanyi msifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia, ili msinitie uchungu mimi kwa kazi ya mikono yenu, na ili nisiwaletee ninyi msiba.’+