Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wote ni watu wakaidi zaidi,+ wanaotembea wakiwa wachongezi+—shaba na chuma. Wote ni wenye kuharibu.+

  • Yeremia 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 lakini waliendelea kufuata ukaidi wa moyo+ wao na sanamu za Baali,+ ambazo baba zao walikuwa wamewafundisha;+

  • Yeremia 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao,+ bali wakaendelea kutembea kila mmoja katika ukaidi wa moyo wake mbaya;+ na kwa hiyo nikaleta juu yao maneno yote ya agano hili nililowaamuru kufanya, lakini hawakufanya.’”

  • Yeremia 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na ninyi katika matendo yenu mmetenda vibaya zaidi kuliko baba zenu,+ na, tazama, kila mmoja wenu anaufuata ukaidi+ wa moyo wake mbaya kwa kutonitii mimi.+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki