30“Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+
10 Watu hawa wabaya wanaokataa kuyatii maneno yangu,+ wanaotembea katika ukaidi wa moyo+ wao na wanaoendelea kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia,+ pia watakuwa kama mshipi huu ambao haufai kwa jambo lolote.’