12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+
8 Kulingana na matendo yao yote ambayo wametenda tangu siku nilipowatoa kutoka Misri+ mpaka leo hii kwa kuwa walizidi kuniacha+ na kuitumikia miungu mingine,+ hivyo ndivyo wanavyokutendea wewe pia.
19 Lakini mkigeuka+ nyuma na kwa kweli mziache kanuni zangu+ na amri zangu+ ambazo nimeweka mbele yenu, nanyi kwa kweli mwende kuitumikia miungu mingine+ na kuiinamia,+