Kumbukumbu la Torati 32:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+ Waamuzi 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+ Zaburi 78:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+
16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+
19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+
58 Nao wakaendelea kumtia uchungu kwa mahali pao pa juu,+Nao wakaendelea kumchochea awe na wivu kwa sanamu zao za kuchongwa.+