Mambo ya Walawi 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na ikiwa mtazikataa sheria zangu,+ na ikiwa nafsi zenu zitachukia maamuzi yangu ya hukumu hivi kwamba zisitende amri zangu zote, mfikie hatua ya kulivunja agano langu,+ Zaburi 73:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+
15 na ikiwa mtazikataa sheria zangu,+ na ikiwa nafsi zenu zitachukia maamuzi yangu ya hukumu hivi kwamba zisitende amri zangu zote, mfikie hatua ya kulivunja agano langu,+
27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+