27 Kwa hiyo akamchongea+ mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, na basi ufanye yaliyo mema machoni pako.
4 “Jihadharini kila mmoja na rafiki yake,+ wala msimtegemee ndugu hata kidogo.+ Kwa maana kila ndugu hakika atanyakua mahali pa mwingine,+ na kila rafiki atatembea huku na huku akiwa mchongezi,+