6 Kwa maana hata ndugu zako mwenyewe na nyumba ya baba yako, hata wao wenyewe wamekutendea kwa hila.+ Hata wao wenyewe wameita nyuma yako kwa sauti kubwa. Usiwe na imani nao hata kidogo, eti kwa sababu wanakuambia mambo mema.+
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+