Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • 2 Samweli 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo akamchongea+ mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, na basi ufanye yaliyo mema machoni pako.

  • Zaburi 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+

      Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+

      Wala hakumshutumu rafiki yake.+

  • Methali 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Anayezunguka-zunguka akiwa mchongezi anafunua mazungumzo ya siri;+ wala usishirikiane na mtu anayeshawishiwa na midomo yake.+

  • Yeremia 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wote ni watu wakaidi zaidi,+ wanaotembea wakiwa wachongezi+—shaba na chuma. Wote ni wenye kuharibu.+

  • Ezekieli 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wachongezi wanaofanya hivyo waziwazi wamo ndani yako, kwa kusudi la kumwaga damu;+ nao wamekula juu ya milima ndani yako.+ Wameendeleza mwenendo mpotovu ndani yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki