9 Ndipo Akishi akajibu na kumwambia Daudi: “Najua vema kwamba umekuwa mwema machoni pangu, kama malaika wa Mungu.+ Ila wakuu wa Wafilisti ndio wamesema, ‘Asipande pamoja nasi kwenda vitani.’
17 ndipo mjakazi wako akasema, ‘Tafadhali, acha neno la bwana wangu mfalme liwe la kutuliza.’ Kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, ili kutofautisha mema na mabaya,+ na Yehova Mungu wako awe pamoja nawe.”