Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Akishi akajibu na kumwambia Daudi: “Najua vema kwamba umekuwa mwema machoni pangu, kama malaika wa Mungu.+ Ila wakuu wa Wafilisti ndio wamesema, ‘Asipande pamoja nasi kwenda vitani.’

  • 2 Samweli 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ndipo mjakazi wako akasema, ‘Tafadhali, acha neno la bwana wangu mfalme liwe la kutuliza.’ Kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, ili kutofautisha mema na mabaya,+ na Yehova Mungu wako awe pamoja nawe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki