12 Kwa hiyo Akishi akamwamini+ Daudi, akisema moyoni mwake: “Bila shaka amenuka katikati ya watu wake Israeli;+ naye atakuwa mtumishi wangu mpaka wakati usio na kipimo.”
17 ndipo mjakazi wako akasema, ‘Tafadhali, acha neno la bwana wangu mfalme liwe la kutuliza.’ Kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, ili kutofautisha mema na mabaya,+ na Yehova Mungu wako awe pamoja nawe.”
20 Mtumishi wako Yoabu amefanya jambo hili ili abadili sura ya jambo lile, lakini bwana wangu ana hekima kama hekima ya malaika+ wa Mungu wa kweli, hivi kwamba ajue yote yaliyo duniani.”
27 Kwa hiyo akamchongea+ mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Lakini bwana wangu mfalme ni kama malaika+ wa Mungu wa kweli, na basi ufanye yaliyo mema machoni pako.
14 Na lililokuwa jaribu kwenu katika mwili wangu, hamkulitendea kwa dharau au kulitemea mate kwa chuki; bali mlinipokea kama malaika+ wa Mungu, kama Kristo Yesu.+